Kutoka mkoani morogoro,Bondia alijechukulia sifa kedekede na asie na mpinzani hapa nchini,Fransis Cheka amehukumiwa kwenda jela miaka mitatu.
Aidha hukumu hiyo iliyotolewa leo mkoani morogoro,cheka amepatikana na hatia katika shtaka lililokuwa likimkabili la kumpiga meneja wake.Pamoja na hukumu hiyo cheka ametakiwa kulipa fidia ya shilingi milioni moja kwa ajili ya kufidia gharama za matibabu kwa mlalamikaji
Aidha hukumu hiyo iliyotolewa leo mkoani morogoro,cheka amepatikana na hatia katika shtaka lililokuwa likimkabili la kumpiga meneja wake.Pamoja na hukumu hiyo cheka ametakiwa kulipa fidia ya shilingi milioni moja kwa ajili ya kufidia gharama za matibabu kwa mlalamikaji
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni