Breaking News

Advertise here

Find us on Google Plus

LOOP SLIDER

Jumatatu, 2 Februari 2015

BONDIA FRANSIS CHEKA KWENDA JELA MIAKA 3

Kutoka mkoani morogoro,Bondia alijechukulia sifa kedekede na asie na mpinzani hapa nchini,Fransis Cheka amehukumiwa kwenda jela miaka mitatu.
    Aidha hukumu hiyo iliyotolewa leo mkoani morogoro,cheka amepatikana na hatia katika shtaka lililokuwa likimkabili la kumpiga meneja wake.Pamoja na hukumu hiyo cheka ametakiwa kulipa fidia ya shilingi milioni moja kwa ajili ya kufidia gharama za matibabu kwa mlalamikaji

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

maoni/ujumbe

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *

Designed By Published.. Blogger Templates